MAADHIMISHO YA KITAIFA YA WIKI YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU KUANZA MEI 25 TANGA

  • Home
  • MAADHIMISHO YA KITAIFA YA WIKI YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU KUANZA MEI 25 TANGA
images
Watumishi wa Taasisi ya sayansi za afya mvumi katika hafla ya kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2024 Jijini Tanga Mei 31, 2024 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlal.

 

Mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwam

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

© Mvumi Institute of Health Sciences by ICT Department